• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Idara ya Utawala na Rasilimali watu


IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU

Idara hii ina jumla ya watumishi 220. Watumishi wa Idara hii ni pamoja na Mkurugenzi Mtendaji (W),Maafisa Utumishi,Makatibu Muhtasi,Madereva,Walinzi,Wasaidizi wa Kumbukumbu,Wasaidizi wa Ofisi,Maafisa watendaji wa kata na Maafisa Watendaji wa vijiji.

MAJUKUMU YA IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI

Kushughulika na masuala yote ya utawala na uendeshaji wa ofisi

Kuhakiki taarifa za utekelezaji za robo, nusu na za mwaka za idara zinazohitajika kwenye vikao, Tume ya Utumishi wa Umma, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na kwingineko

Kushughulikia masuala ya itifaki na mapokezi ya wageni

Kusimamia utendaji wa kazi wa ngazi za chini, kata, vijiji na vitongoji

Kushughulikia mikataba ya huduma kwa mteja

Kushughulikia uhamisho wa watumishi

Kushugulikia masuala ya nidhamu: Kushauri hatua zinazostahili kwa watumishi wenye makosa mbalimbali ya kiutumishi kulingana na Kanuni za utumishi wa umma

Kuratibu maandalizi ya bajeti ya mishahara ya watumishi wote na matumizi mengineyo kwa idara ya utawala na Utumishi.

Kushughulikia masuala yote ya Utawala Bora likiwemo na suala la masanduku ya maoni katika ngazi za Halmashauri, kata, vijiji na vitongoji na kuhakikisha kuwa maoni hayo yanafanyiwa kazi na kurudisha mrejesho kwa wakati

Kushughulikia matukio mbalimbali katika Halmashauri ikiwemo Vifo, Ajali, nk

Kushughulikia matatizo na migogoro inayotokana na mikutano ya Halmashauri, Kata, vijiji na vitongoji

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato cha pili na Kidato cha nne 2020 haya hapa January 15, 2021
  • TANGAZO UPANGISHWAJI WA MAJENGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA. December 14, 2020
  • UZINDUZI WA BARAZA LA MADIWANI 2020/2025 December 14, 2020
  • Tangazo la ujio wa Madaktari bingwa kutoka Ujerumani katika Kituo cha Afya cha Ifunda Mission. February 06, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Muwezezaji wa Mrati wa World Vision Wasa Bi.Gaudencia Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wazazi na watoto waliopatiwa vitimwendo katika kata ya Wasa

    November 26, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela pichani akifungwa skafu na skauti alipowasili katika shule ya Sekondari Ilambilole

    November 04, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela pichani akifungwa skafu na skauti alipowasili katika shule ya Sekondari Ilambilole

    November 04, 2020
  • Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh.Richard Kasesela akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua baraza la watoto la Halmashauri ya Wilaya

    October 20, 2020
  • Tazama zote

Video

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya azindua rasmi ghala la Isele
video

Viungo vya haraka

  • Dashibodi ya Mapato
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa