JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KISEKTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2016/17
Imeandaliwa na:- Mkurugenzi Mtendaji (W) Iringa, P.O.BOX 108,
1.0 UTANGULIZI
taarifa hii inakusudiwa kuwasilishwa kuonesha aina ya miradi iliyotekelezwa kwa kila sekta, hali ya utekelezaji wa miradi hiyo, bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka 2016/17, chanzo cha fedha, fedha iliyopokelewa, fedha iliyotumika na changamoto zilizojitokeza na kuathiri utekelezaji wa miradi iliyopangwa. Aidha katika taarifa hii sekta zitakazohusika ni Maji, Elimu Msingi na Sekondari, Afya, Ujenzi, Mipango na Kilimo. Changamoto zilizoikumba Halmashauri kwa kipindi chote cha utekelezaji kwa mwaka 2016/17 zimeoneshwa katika Majedwali upande wa kulia kabisa wa jedwali (b).
2.0 HALI HALISI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MWAKA 2016/17
Taarifa zinazoihusu sehemu hii ya pili zimeoneshwa kwa njia ya majedwali kama ifuatavyo:-
2.1. SEKTA YA MAJI
Katika mwaka 2016/17, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kupitia Idara ya Maji ilitenga katika bajeti yake jumla ya Tshs. 831,157,069 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji. Hadi tarehe 30 Juni 2017, Halmashauri ilikuwa imepokea jumla ya Tshs. 1,195,884,239 kama inavyooneshwa katika jedwali lifuatalo:
a) Mapokezi na Matumizi ya fedha za maji mwaka 2016/17
NA
|
SEKTA
|
CHANZO CHA FEDHA
|
BAJETI 2016/17
|
KIASI POKELEWA
|
% YA MAPOKEZI
|
KIASI TUMIKA
|
% YA MATUMIZI
|
BAKI
|
MAONI
|
1
|
MAJI
|
WSDP
|
161,927,069
|
673,172,739
|
416
|
673,172,739
|
100
|
0
|
Pamoja na mapokezi haya, bado Halmashauri inadaiwa jumla ya Tshs. 317,488,004
|
2
|
|
UNICEF
|
195,150,000
|
195,150,000
|
100
|
184,777,005
|
95
|
0
|
|
3
|
|
REA
|
474,080,000
|
327,561,500
|
69
|
324,556,201
|
99
|
0
|
|
|
Jumla 2016/17
|
831,157,069
|
1,195,884,239
|
|
1,182,505,945
|
|
|
|
b) Hali ya utekelezaji wa miradi ya Sekta ya maji iliyopangwa mwaka 2016/17, pamoja na mapokezi na Matumizi ya fedha.
NA |
SEKTA |
JINA LA MRADI |
KAZI ZILIZOPANGWA |
HALI YA UTEKELEZAJI |
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI |
BAJETI 2016/17 |
CHANZO CHA FEDHA |
FEDHA ILIYO POKELEWA |
FEDHA TUMIKA |
CHANGAMOTO |
1 |
MAJI
|
Ujenzi wa Mradi wa Maji Malizanga
|
Uunganishaji wa vituo 26 vya kuchotea maji.
Urekebishaji wa mitaro ya bomba na ufukiaji wa mabomba kwa km 10 Ujenzi wa lambo 1 la kunyweshea mifugo Umaliziaji wa ofisi ya watumiaji maji na uwekaji wa samani za ofisi Ujenzi wa chemba za hewa, Umaliziaji wa tanki 1 la maji |
Uunganishaji wa vituo vya kuchotea maji 23 umekaamiika
Urekebishaji wa mitaro ya bomba na ufukiaji wa mabomba kwa km 10 umekamilika Ujenzi wa lambo 1 la kunyweshea mifugo umekamilika 95% Umaliziaji wa ofisi ya watumiaji maji na uwekaji wa samani za ofisi umekamilika 90 Umaliziaji wa tanki 1 la maji umekamilika 90 |
Miezi 9 |
144,806,046 |
MOWI |
123,522,750.45 |
123,522,750.45 |
|
2 |
|
Ujenzi wa Mradi wa Maji Mfyome
|
Ufungaji wa transfoma kwa ajili ya kusukuma pampu katika kisima kimoja,
Uandaaji na uwasilishaji wa Michoro ya mfumo wa mradi Uunganishaji wa vituo 11 vya kuchotea maji |
Uunganishaji wa vituo 11 vya kuchotea maji
|
Miezi 9 |
0.00 |
MOWI |
14,022,036.63 |
14,022,036.63 |
|
3 |
|
Ujenzi wa Mradi wa Maji Migoli
|
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo Ujenzi wa wa pump house Uchimbaji mitaro Ununuzi wa mabomba Ulazaji mabomba na ufukiaji Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 20 |
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji umekamilika 95%,
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo umekamilika 85%. Ujenzi wa wa pump house umekamilika 80% Uchimbaji mitaro umekamilika 95% Ununuzi wa mabomba umekamilika 90% Ulazaji mabomba na ufukiaji umekamilika 53% Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 20 |
Miezi 12 |
0.00 |
MOWI |
365,527,738.09 |
365,527,738.09 |
|
4 |
|
Ujenzi wa Mradi wa Maji Izazi
|
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo Ujenzi wa wa pump house Uchimbaji mitaro Ununuzi wa mabomba Ulazaji mabomba na ufukiaji Ujenzi wa vituo vya kuchotea maji 20 |
Ujenzi wa tank la kuhifadhia maji umekamilika 90%,
Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo umekamilika 80%. Ujenzi wa wa pump house umekamilika 80% Uchimbaji mitaro umekamilika 70% Ununuzi wa mabomba umekamilika 90% Ulazaji mabomba na ufukiaji umekamilika 27% |
Miezi 12 |
0.00 |
MOWI |
140,100,213.40 |
140,100,213.40 |
|
5 |
|
Ukarabati Mradi wa maji wa Igangidungu
|
Uletaji na ufu ngaji wa pampu inayoendeshwa na jenereta na vifaa vyake
Kufanya matengenezo katika mfumo wa umeme na jenereta Kufanya matengenezo ya miundombinu ya maji |
Uletaji na ufu ngaji wa pampu inayoendeshwa na jenereta na vifaa vyake
Kufanya matengenezo katika mfumo wa umeme na jenereta Kufanya matengenezo ya miundombinu ya maji |
Sik 30 |
17,121,023.00 |
MOWI |
0.00 |
0.00 |
|
6 |
|
Kuwezesha usanifu wa upanuzi wa mradi wa maji Pawaga
|
Kupitia miundombinu iliyopo ya Mradi kuanzia chanzo mpaka mwisho wa mradi kwas asa
Kuainisha mapungufu yaliyopo kwenye mradi Kufanya usanifu toka mahali mradi ulipoishia kwenda vijiji vya kata ya mlenge Kuwasilisha michoro ya usanifu wa mradi na mahitaji (BOQ) |
Kuupitia mradi wote
Kuainisha mapungufu Kusanifu upanuzi wa miundombinu kwenda kwenye vijiji vilivyopo kwenye kata ya Mlenge Uwasilishaji wa michoro na mahitaji ya usanifu uliofanyika |
Siku 30 |
0.00 |
MOWI |
30,000,000.00 |
30,000,000.00 |
|
8 |
|
Uwekaji wa mfumo wa umeme wa jua na pampu katika visima 19 (Mbuyuni, Msimbi, Kitisi, Idodi, Makuka, Ivangwa, Uhominyi, Kising’a Igingilanyi, Iguluba, Isaka, Makadupa, Usolanga kawemba, Iselembigamo, Magombwe shuleni Kisanga kilangililo, Ipwasi, Mawindi na Holo)
|
Ujenzi wa vinara vya matenki 19,
Uwekaji wa mfumo wa umeme jua na pampu katika visima 19, Uchimbaji mtaro na kulaza mabomba katika visima 13 Ujenzi wa vituo 3 kwa kila kisima |
Ujenzi wa tank vinara vya matenki 19,
Uwekaji wa mfumo wa umeme jua na pampu katika visima 19, Uchimbaji mtaro na kulaza mabomba katika visima 13 Ujenzi wa vituo 3 kwa kila kisima kwa visima 13 |
Siku 120 |
474,080,000 |
REA |
327,561,500.00 |
324,556,201.00 |
|
|
|
Kujenga miundombinu ya vinawia mikono vya pamoja 7 katika shule ya msingi Kiponzero, Chamgogo, kidilo, kisanga, kibena, katenge, kibebe, ulanda na Mangalali
|
Ujenzi wa vinawia mikono vya pamoja kwenye shule ya msingi Katenge, Kidilo, Kibena Makombe, Ulanda, Maperamengi na Mangalali
|
Ujenzi wa vinawia mikono vya pamoja kwenye shule ya msingi Katenge, Kidilo, Kibena na Makombe umekamilika
Ujenzi wa vinawia mikono vya pamoja katika shule ya msingi Ulanda, Maperamengi na Mangalali unaendelea |
Siku 90 |
21,000,000 |
UNICEF |
21,000,000.00 |
10,627,005.00 |
|
|
|
Kufanya utafiti wa eneo lenye maji na kuchimba kisima katika shule za msingi tatu (3) Katenge, Kidilo na Magunga
|
Upimaji wa maji ardhi katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga
Uchimbaji wa visima 3 katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga |
Upimaji wa maji ardhi katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga umekamilika
Uchimbaji wa visima 3 katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga umekamilika |
Siku 60 |
80,850,000 |
UNICEF |
80,850,000.00 |
80,850,000.00 |
|
|
|
Kuweka mfumo wa umeme jua na pampu katika shule ya msingi Katenge, Kidilo na Magunga
|
Ujezi wa vinara 4 vya matenki,
Uwekaji wa matenki 3 ya lita 5,000, Ufungaji wa mfumo wa maji, Ujenzi wa vituo vya kuchtea maji 8, Ufungaji wa mfumo wa umeme jua na pampu |
Ujezi wa vinara 4 vya matenki umekamilika
Uwekaji wa matenki 3 ya lita 5,000 umekamilika Ufungaji wa mfumo wa maji umekamilika Ujenzi wa vituo vya kuchtea maji 8 umekamilika Ufungaji wa mfumo wa umeme jua na pampu umekamilika |
Siku 120 |
93,300,000 |
UNICEF |
93,300,000.00 |
93,300,000.00 |
|
|
JUMLA NDOGO YA SEKTA YA MAJI 2016/17 |
831,157,069 |
|
1,195,884,239 |
1,182,505,945 |
|
2.2 SEKTA YA ELIMU MSINGI
a) Miradi ya maendeleo iliyotekelezwa mwaka 2016/17
Na |
SEKTA |
JINA LA MRADI |
KAZI ZILIZOPANGWA |
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI |
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI |
BAJETI 2016/2017 |
CHANZO CHA FEDHA |
FEDHA POKELEWA |
FEDHA TUMIKA |
CHANGAMOTO |
|||||||||
1 |
Elimu Msingi
|
Ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu Kipera Shule ya Msingi.
|
Umaliziaji wa ujenzi wa bweni na miundombinu ya maji safi na maji taka
|
Kazi inaendelea kwa kufunga milango na madirisha, vyoo na upakaji wa rangi.
|
2016/2017 |
100,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
100,000,000 |
90,643,610 |
HAKUNA
|
|||||||||
2 |
|
Ujenzi wa miundombinu Shule ya msingi Chamgogo.
|
Kujenga Madarasa 5, utengenezaji wa Madawati 100, ujenzi wa Matundu 20 ya vyoo, na ukarabati wa madarasa.
|
Madarasa 5, vyoo 2 vya matundu 24 vimejengwa, madawati 100 yametengenezwa na vifaa vya ukarabati wa madarasa vimenunuliwa.
|
2016/2017 |
132,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
132,000,000 |
130,544,070 |
Fedha hazitoshi, Miundombinu ya barabara ya kuelekea Chamgogo ni mibovu na imesababisha gharama za usafirishaji wa vifaa kupanda.
|
|||||||||
3 |
|
Ujenzi wa miundombinu ya shule ya msingi Kalenga.
|
Kujenga Madarasa 4, uzio, kukarabati majengo ya shule
|
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4, maktaba 1, Matundu ya Vyoo 20 na uzio wa km 2.48 unaendelea.
|
2016/2017 |
241,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
241,000,000 |
98,000,000 |
Fedha hazitoshi kukarabati vyumba vya madarasa na ununuzi wa madawati.
|
|||||||||
4 |
|
Kumalizia kupaua madarasa 2 shule ya msingi Mwanyengo
|
Kuzisaidia shule mbalimbali zilizokuwa na maboma yaliyojengwa na kijiji
|
Ujenzi wa madarasa na vyoo vya shule (Jengo limepauliwa na kuweka sakafu).
|
2016/2017 |
43,380,600 |
TAMISEMI (P4R)
|
43,380,600 |
43,380,600 |
Fedha hazitoshi, kazi ya umaliziaji wa maboma haijakamilika
|
|||||||||
|
JUMLA |
|
516,380,600 |
|
516,380,600 |
362,568,280 |
|
||||||||||||
b) Hali ya utekelezaji wa Miradi iliyovuka na fedha mwaka 2015/16 Tshs. 43,380,600 (Mchanganuo wa matumizi) |
|||||||||||||||||||
Na |
SEKTA |
JINA LA MRADI |
KAZI ZILIZOPANGWA |
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI |
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI |
BAJETI 2016/2017 |
CHANZO CHA FEDHA |
FEDHA POKELEWA |
FEDHA TUMIKA |
CHANGAMOTO |
|||||||||
1 |
Elimu Msingi |
Kumalizia ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya msingi Sasamambo
|
Kupauwa,lipu na sakafu
|
Maandalizi ya ring beam yanaendelea
|
2016/2017 |
5,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
5,000,000 |
5,000,000 |
Fedha zilizotengwa kazi hiyo hazitoshi
|
|||||||||
2 |
|
Kumalizia ujenzi wa vyumba vya madarasa 2 shule ya msingi Isaka
|
Kupauwa,lipu na sakafu
|
Maandalizi ya kupaua yanaendelea
|
2016/2017 |
5,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
5,000,000 |
5,000,000 |
Fedha zilizotengwa kazi hiyo hazitoshi
|
|||||||||
3 |
|
Kumalizia ujenzi wa madarasa 2 shule ya msingi Mangawe
|
Kupauwa, lipu, sakafu kuweka milango na madirisha.
|
Maandalizi ya kuweka milango na madirisha yanaendelea.
|
2016/2017 |
5,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
5,000,000 |
5,000,000 |
Fedha zilizotengwa kwa kukamilisha ujenzi hazitoshi
|
|||||||||
5 |
|
Kumalizia ujenzi madarasa 2 shule ya msingi Itunundu
|
Kupauwa, lipu, sakafu ku.
|
Madarasa 2 yamepauliwa, maandalizi ya lipu na sakafu yanaendelea
|
2016/2017 |
5,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
5,000,000 |
5,000,000 |
Fedha zilizotengwa kwa umaliziaji hazitoshi
|
|||||||||
6 |
|
Kumalizia ujenzi madarasa 2 shule ya msingi Kidilo
|
Kupauwa, lipu, sakafu ku.
|
Madarasa 2 yamepauliwa, maandalizi ya lipu na sakafu vimekamilika
|
2016/2017 |
4,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
4,000,000 |
4,000,000 |
Fedha zilizotengwa kwa ukamilishaji hazitoshi
|
|||||||||
7 |
|
Kumalizia ujenzi madarasa 2 shule ya msingi Mwayengo
|
Kupauwa, lipu, sakafu ku.
|
Madarasa 2 wamepauwa, wanafanya maandalizi ya lipu na sakafu
|
2016/2017 |
8,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
8,000,000 |
8,000,000 |
Fedha zilizotengwa kwa ukamilishaji hazitoshi
|
|||||||||
8 |
|
Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Lwato
|
Kuchimba na kujenga shimo, kufanya maandalizi ya ujenzi wa mabanda ya vyoo
|
Ufunikaji wa shimo la vyoo unaendelea
|
2016/2017 |
3,200,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
3,200,000 |
3,200,000 |
Fedha za ukamilishaji hazitoshi
|
|||||||||
9 |
|
Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Masumbo
|
Kuchimba shimo, kujenga shimo, ujenzi wa banda
|
Maandalizi ya kufunika shimo yanaendelea
|
2016/2017 |
3,200,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
3,200,000 |
3,200,000 |
Fedha za ukamilishaji hazitoshi
|
|||||||||
10 |
|
Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Usengelindete
|
Kusaidia ukamilishaji wa ujenzi wa vyoo
|
Jengo limepauliwa, lipu na sakafu tayari bado rangi
|
2016/2017 |
2,980,600 |
TAMISEMI (P4R)
|
2,980,600 |
2,980,600 |
Fedha za ukamilishaji hazitoshi
|
|||||||||
11 |
|
Ujenzi wa matundu ya vyoo 8 katika Shule ya Msingi Kiponzero
|
Kufunika shimo, kujenga mabanda ya vyoo, lipu na sakafu
|
Shimo limefunikwa, mabanda yamejengwa, uezekaji umekamilika, bado lipu na sakafu
|
2016/2017 |
2,000,000 |
TAMISEMI (P4R)
|
2,000,000 |
2,000,000 |
Fedha za ukamilishaji hazitoshi
|
|||||||||
|
JUMLA |
|
43,380,600
|
|
43,380,600 |
43,380,600 |
|
||||||||||||
c) Hali ya utekelezaji wa elimu bila malipo |
|||||||||||||||||||
Na |
SEKTA |
JINA LA MRADI |
KAZI ZILIZOPANGWA |
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI |
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI |
BAJETI 2016/2017 |
CHANZO CHA FEDHA |
FEDHA POKELEWA |
FEDHA TUMIKA |
CHANGAMOTO |
|||||||||
1 |
Elimu Msingi |
Kuhudumia wanafunzi wenye mahitaji maalum katika shule za msingi za Kipera, Tanangozi, Kidamali na Mfyome
|
Kutoa huduma mbalimbali za chakula, nauli, matibabu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu na posho kwa watumishi wanaowalea wanafunzi wenye mahitaji maalumu
|
Huduma zote zimetolewa
|
2016/2017 |
43,903,571 |
HAZINA
|
43,903,571 |
43,903,571 |
Fedha haitoshelezi mahitaji kwani idadi ya watoto ni kubwa
|
|||||||||
2 |
|
Utawala na Uendeshaji wa shule 148
|
Utawala, ununuzi wa vifaa, uendeshaji wa mitihani, ukarabati na michezo
|
Huduma zote zimetolewa japokuwa kwa kiwango cha wastani
|
2016/2017 |
327,361,113 |
HAZINA
|
327,361,113 |
327,361,113 |
Fedha haitoshelezi mahitaji kwani idadi ya watoto ni kubwa na kiwango cha pesa kinachotolewa ni kidogo
|
|||||||||
|
JUMLA |
|
371,264,684 |
|
371,264,684 |
371,264,684 |
|
||||||||||||
|
Jumla Kuu Sekta ya Elimu Msingi 2016/17 |
2016/2017
|
931,025,884 |
TAMISEMI
|
931,025,884 |
777,213,564 |
|
||||||||||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
2.3. SEKTA YA ELIMU SEKONDARI-MIRADI INAYOTEKELEZWA
|
S/N
|
SEKTA
|
JINA LA MRADI
|
KAZI ZLIZOPANGWA KUTEKELEZWA
|
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
|
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
|
BAJETI
2016/2017 |
CHANZO CHA FEDHA
|
FEDHA POKELEWA
|
FEDHA TUMIKA
|
CHANGAMOTO
|
||||||||||
|
1
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa Mabweni 6 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga na WilliamLukuvi
|
Kujenga mabweni 6 na kuyakamilisha kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi wa kidato cha tano na sita katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga na William Lukuvi
|
Ujenzi upo hatua ya kupandisha kuta katika Shule za Sekondari za Ismani William Lukuvi na Pawaga
|
Machi 2017 hadi June 2017
|
450,000,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
450,000,000
|
71,727,000
|
Fedha kuchelewa kufika
|
||||||||||
|
2
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa madarasa 12 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga , WilliamLukuvi
|
Kujenga madarasa 12 na kuyakamilisha kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi katika shule za Sekondari za Isimani, Pawaga na WilliamLukuvi
|
Ujenzi upo hatua ya kupaua katika Shule ya Sekondari Ismani na hatua ya kupandisha kuta katika shule za sekondari za William Lukuvi na Pawaga
|
Machi 2017 hadi June 2017
|
246,000,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
240,000,000
|
32,853,520
|
Fedha kuchelewa kufika
|
||||||||||
|
3
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari , Nyang’oro
|
Kumalizia ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari Ngang’oro
|
Ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa katika shule ya Sekondari Nyang’oro umekamilika na vyumba vinatumika
|
Machi 2017 hadi June 2017
|
17,000,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
17,000,000
|
17,000,000
|
|
||||||||||
|
4
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa vyumba vya maabara 9 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga ,Nyang’oro, Lipuli na William Lukuvi
|
Kumalizia ujenzi wa vyumba vya maabara 9 katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga ,Nyang’oro, Lipuli na William Lukuvi
|
Ujenzi upo hatua ya umaliziaji wa uwekaji sakafu, dari, madirisha na Milango katika shule za sekondari za Ismani, William Lukuvi na Pawaga, Lipuli na Nyang’oro.
|
Machi 2017 hadi Juni 2017
|
72,000,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
72,000,000
|
37,214,747
|
Fedha kuchelewa kufika
|
||||||||||
|
5
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa matundu 32 ya vyoo katika shule za sekondari za Isimani, Pawaga ,Idodi na William Lukuvi
|
Kujenga matundu 32 ya vyoo katika shule za sekondari za Isimani, William Lukuvi, Pawaga na Idodi
|
Ujenzi upo katika hatua ya uchimbaji wa mashimo ya vyoo katika shule za sekondari za Ismani, William Lukuvi, Pawaga na Idodi
|
Machi 2017 hadi Juni 2017
|
38,500,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
38,500,000
|
3,823,000
|
Kuchelewa kupata mafundi wa kuchimba mashimo ya vyoo.
|
||||||||||
|
6
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa Bwalo la kulia chakula Wanafunzi Shule ya Sekondari Idodi.
|
Kujenga Bwalo la kulia chakula shule ya sekondari Idodi.
|
Ujenzi upo katika hatua ya renta
|
Januari 2017 hadi Juni 2017
|
150,000,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
150,000,000
|
102,807,000
|
Kuchelewa kupata mafundi wa kuchimba mashimo ya vyoo.
|
||||||||||
|
7
|
Elimu Sekondari
|
Ukarabati wa vyumba 4 vya Ofisi za Walimu Shule ya sekondari Idodi.
|
Kukarabati vyumba 4 vya Ofisi za Walimu shule ya sekondari Idodi.
|
Ukarabati umekamilika na Ofisi zinatumika
|
Januari 2017 hadi Juni 2017
|
10,000,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
10,000,000
|
9,949,500
|
|
||||||||||
|
8
|
Elimu Sekondari
|
Ujenzi wa choo shule ya Sekondari Idodi
|
Kujenga choo matundu 5 kwa ajili ya wanafunzi shule ya Sekondari Idodi
|
Ujenzi wa choo matundu 5 kwa ajili ya wanafunzi upo hatua ya msingi.
|
Januari 2017 hadi Juni 2017
|
5,500,000
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
5,500,000
|
3,823,000
|
|
||||||||||
|
9
|
Elimu Sekondari
|
Umaliziaji wa ujenzi wa nyumba za walimu Za mbili ndani ya moja shule ya Sekondari Lipuli, Furahia, William Lukuvi, Idodi na Nyerere - Migoli
|
Kukamilisha ujenga wa nyumba za mwalimu za mbili ndani ya moja
|
Ujenzi wa nyumba 2 za walimu (2in1) umekamilika katika shule za sekondari za Lipuli na Nyerere (Migoli), pia Ujenzi wa nyumba 4 za walimu (2in1) uko hatua ya msingi katika shule ya sekondari Nyerere (Migoli) na ujenzi wa nyumba 3 (2in1) katika shule za sekondari za William Lukuvi, Furahia na Idodi zipo hatua ya kupaua.
|
Januari 2017 hadi Juni 2017
|
379,900,000
|
Halmahauri ya Wilaya ya Iringa (LCGD); SEDP na Nguvu za wananchi
|
379,900,000
|
50,386,000
|
Ukosefu wa fedha
|
||||||||||
|
10
|
Elimu Sekondari
|
Ukarabati wa Majengo ya shule ya sekondari Ifunda Ufundi
|
Kukarabati majengo yote pamoja na mfumo wa umeme na maji iliyochakaa shule ya sekondari Ifunda Ufundi
|
Ukarabati uko hatua za mwisho za kuweka vitanda, Milango, na Mfumo wa Umeme na maji katiaka majengo yaliyokarabatiwa
|
Januari 2017 hadi Juni 2017
|
2,883,102,144
|
Wizara ya Elimu
(P4R) |
2,883,102,144
|
2,046,841,827
|
Muda wa kufanya ukarabati umekuwa mchache kulingana na ukubwa wa kazi.
|
||||||||||
|
JUMLA KUU SEKTA YA ELIMU Sekondari 2016/17
|
4,252,002,144
|
|
4,246,002,144
|
2,376,425,594
|
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||
|
2.4 SEKTA YA UJENZI
UTANGULIZI; Jumla ya bajeti iliyoidhunishwa ni TZS 1,804,092,092.90. Mikataba iliyoingia Halmashauri na wakandarasi ni jumla ya TZS 1,904,261,884.50. Jumla ya matumizi hadi kufia Juni 30, 2017 ni 865,600,500.70. Matumizi haya hayahusishi fedha zilizovuka mwaka. Jumla ya mapokezi kuanzia Julai 2016 hadi Juni 30, 2017 ni TZS 1,964,261,885. Fedha hizi hazijumuishi fedha za miradi iliyovuka mwaka 2015/2016, isipokuwa fedha za dharura, pamoja na miradi ya mwaka 2016/2017. |
||||||||||||||||||||
NA
|
SEKTA
|
JINA LA MRADI |
KAZI ZILIZOPANGWA
|
HALI HALISI YA UTEKELEZAJI |
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
|
BAJETI 2016/17
|
CHANZO CHA FEDHA
|
FEDHA POKELEWA
|
FEDHA TUMIKA
|
CHANGAMOTO |
|||||||||||
1
|
UJENZI
|
Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Itunundu - Igodikafu (Ujenzi wa nguzo ya daraja)
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Mradi haujatekelezwa. Sababu ni maji mengi yaliyojaa eneo la ujenzi (mto Ruaha eneo la Igodikafu)
|
Siku 30 (Mwezi Juni 2016)
|
12,500,000
|
Road Fund
|
35,872,000
|
-
|
1) Barabara nyingi zinahitaji ukarabati lakini zinapata fedha kwa ajili ya ‘‘maintenance’ 2)
|
|||||||||||
2
|
|
Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya Kalenga - Kiponzero
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Mradi umefikia hatu za mwisho za utekelezaji na umefikia 96%. Kazi zilizokamilika ni: - Kuchonga tutala brabara Km 31.6, Kuweka changarawe, Kujenga kalvati mistari 3, kumimina zege katika eneo korofi la mlima. Kazi iliyo baki ni kumalizia ujenzi wa kuta za kuking akalvati.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
178,500,000
|
Road Fund
|
198,145,000
|
144,670,500
|
|
|||||||||||
3
|
|
Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya Secondari ya Pawaga- Mboliboli
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Mradi umefikia hatu za mwisho za utekelezaji na umefikia 95%. Kazi zilizokamilika ni: - Kuchonga tutala brabara Km 8, Kuweka changarawe, Kujenga kalvati mistari 3, kujenga makalvati mistari, kuchimba mtaro kwa kinga maji 3 Kms.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
136,000,000
|
Road Fund
|
120,117,250
|
96,070,455
|
||||||||||||
4
|
|
Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya Kihorogota - Mkulula
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Mradi huu umefikia hatua za mwisho na umefikia 98%. Ambapo kazi zilizofanyika ni:-Kuchonga tuta la barabaraa Km 8, Kujenga makalvati, kuweka changarawe Km 8, kuchimba mitaro ya kinga na kutoa maji imekamilika.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
136,000,000
|
Road Fund
|
126,468,720
|
94,504,500
|
||||||||||||
5
|
|
Matengenezo ya muda maalum katika barabara ya Ulete - Isupilo
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Mradi huu uutekelezaji wake unaendelea na umefikia 75%. Kazi zilizokamilika ni: kusafisha eneo la barabara, Kuchonga tuta la barabara km 8, Kuweka chanagarawe jumla ya Km 5, kuchimba mifereji ya kutoa maji. Ambapo kazi zinazoendelea ni:-Kuchonga tuta la barabaraa Km 8, Kujenga makalvati, kuweka changarawe Km 8, kuchimba mitaro ya kinga na kutoa maji Km 1.2.Ka
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
136,000,000
|
Road Fund
|
126,600,000
|
80,044,984
|
||||||||||||
6
|
|
Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Ifunda - kiponzero , Wasa - Ihomasa- Ulata
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Katika mradi huu kazi haijafanyika. Mkandarasi hakwenda eneo la kazi. Hata zakuvunja mkataba zinaendelea.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
30,000,000
|
Road Fund
|
27,770,500
|
-
|
||||||||||||
7
|
|
Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya kimande - kinyika , kinyika -Isele na Isele - Magombwe (Labour Based)
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 68%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majani .Utekelezaji unaendelea.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
36,000,000
|
Road Fund
|
48,852,500
|
23,655,258
|
||||||||||||
8
|
|
Matengenezo ya sehemu korofi barabara yaTagamenda - Ugwachanya , Ndiwili - Ng'enza na Wenda - Mgama
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mrad huu unaendelea ambapo umefikia 46%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji , kuchoga tuta la barabara km 4, kufyeka majani. Utekelezaji unaendelea.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
45,000,000
|
Road Fund
|
45,061,000
|
14,357,376
|
||||||||||||
9
|
|
Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Iguluba - Makadupa - Nyakavangala na Matengenezo ya kawaida barabara ya Mangawe - Holo na mkulula - Isaka
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 60%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majani, kujenga makalvati mitari 3, kuchoga tuta la barabara km 3, kufyeka majani.Utekelezaji unaendelea.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
51,500,000
|
Road Fund
|
61,196,250
|
21,818,722
|
||||||||||||
10
|
|
Matengenezo ya kawaida barabara ya Magunga - Makombe, Ulete -Isupilo , Ifunda - Itengulinyi- Magunga , kKbena - Mfukulembe na Wasa- Mahuninga
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 45%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 15 , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji. Kazi zinazoendelea ni kufyeka majani majani na kufukua makalvati.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
126,000,000
|
Road Fund
|
113,223,500
|
16,983,525
|
||||||||||||
11
|
|
Matengenezo ya kawaida barabara ya Izazi - Kimande and Izazi - Mnadani (Labour based)
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 56%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 8 , kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji. Kazi zinazoendelea ni kufyeka majani majani na kufukua makalvati, kusafisha dichi.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
34,500,000
|
Road Fund
|
41,870,000
|
19,441,998
|
||||||||||||
12
|
|
Matengenezo ya kawaida barabara ya Itwaga - Udumka, Kitayawa - Wangama , Mgama - Ilandutwa, Tanangozi - Kikombwe na Lupembelwasenga - kitayawa
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika ambapo umefikia 100%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 25, kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majaji,kufyeka majani na kufukua makalvati,kusafisha dichi na kukarabati kuta za kukinga kalvati.Kuchonga barabara km 2, kuweka changarawe katika sehemu korofi 2Km. Mradi umekamilika upo katika muda wa matazamio.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
58,500,000
|
Road Fund
|
55,346,130
|
52,578,824
|
||||||||||||
13
|
|
Matengenezo ya kawaida barabara ya Mapogoro - kitisi, Nzihi kipera na Lukwambe - kidamali ( Labour Based)
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefikia 76%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba, kuchimba mitaro ya kutoa maji, kukwatua majani, kufyeka majani na kufukua makalvati, kusafisha dichi na kuchonga tuta la barabara km 7.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
54,000,000
|
Road Fund
|
46,429,000
|
32,143,000
|
||||||||||||
14
|
|
Matengenezo ya kawaida barabara ya Kiwere- Igingilanyi , Isimani - Pawaga na Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Mkungugu - Ikengeza - Nyangoro
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu upo hatua za mwisho ambapo umefikia 85%. Kazi zilizokamilika ni:- kufukua makalvati yaliyoziba 10, kuchimba mitaro ya kutoa maji, kujenga kalvati mistari 3 na kufukua makalvati, kusafisha dichi na kuchonga tuta la barabara km 2.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
73,500,000
|
Road Fund
|
71,906,000
|
32,949,000
|
||||||||||||
15
|
|
Ujenzi wa madaraja mawili barabara ya Isimani - Pawaga na Isele - Mafuruto
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utejkelezaji wa mradi huu unaendelea ambapo umefiia 45%. Kazi zilizokamilika ni ujenzi wa msingi wa daraja la urefu mita 10, kuchimba msingi. Zinazoendelea ni:-. Ujenzi wa ''bridge abutments''
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
317,040,000
|
Road Fund
|
208,847,635
|
41,346,899
|
||||||||||||
16
|
|
Ukarabati wa barabara ya Mlowa - Mbuyuni
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu unaendelea na umefikia 48% .Kazi zilizokamilika ni kuchonga barabaara km 8, kujenga kalvati
Mistari 6, upanuzi wa tuta la barabarakufikia meta 7 upana na kunyanyua tuta la barabara kwa changarawe. Kazi zinazoendelea ni ujenzi wa box culvarts na kuchimba mtaro wa kinga maji. |
Siku 120 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
0
|
Road Fund
|
339,556,400
|
84,564,900
|
|
|||||||||||
17
|
|
Ukarabati wa barabara ya Kitayawa - Wangama
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekelezaji wa mradi huu umekamilika na umefikia 100%. Kazi zilizokamilika ni kuchonga barabara km 7, kufukua makalvati yaliyoziba 6, kuweka changarawe km 7, kuchimba mitaro ya kutoa maji, mradi umekamilika.Upo katika muda wa matazamio.
|
Siku 120 (Kutoka Mwezi Mei 2017)
|
105,000,000
|
Road Fund
|
103,000,000
|
93,233,760
|
|
|||||||||||
18
|
|
Ujenzi wa dharura wa ''Box Culvert'' katika barabara ya Pawaga Sekondari - Mboliboli
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida,Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Mradi huu upo katika hatua za mwisho za kusaini mkataba.
|
Siku 60 (Kutoka Mwezi Julai 2017)
|
180,000,000
|
Road Fund
|
178,000,000
|
- |
||||||||||||
19
|
|
Matengenezo ya kawaida barabara ya Tanangozi - Makongati (Force Accout)
|
Matengenezo ya Muda maalum, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya kawaida, Ujenzi wa madaraja na Ukarabati
|
Utekeleaji wa mradi huu lishakamilika. Kwa 100%. Kazi zilizofanyika ni:- kuchonga tuta la barabara na kushindilia jumla ya km 22., Kuchimba mitaro ya kutoa majina kufuku amakalvati yaliyoziba
|
Siku 21(Kutoka Mwezi Aprili 18th 2017)
|
16,000,000
|
Road Fund
|
16,000,000
|
17,236,800
|
||||||||||||
|
|
ADRICS Zoezi la kuhuisha mtandao wa barabara za Wilaya kwa njia ya Dromas
|
|
Kazi hii imefanyika na wataalam wa Idara ya Ujenzi. Ambapo imefikia 90% imekamilika
|
Siku 30 (Kutoka Mwezi Machi 2017)
|
6,000,000
|
Road Fund
|
|
|
||||||||||||
|
|
Gahrama za usimamizi wa miradi ya barabara 2016/2017
|
|
Fedha hii imesaidi kuwalipa wataaalam, ununuzi wa mafuta, stationery na huduma ya magari (matengenezo)
|
(Kuanzia Julai 2016 - Mwezi Juni 2017)
|
72,052,093
|
Road Fund
|
|
|
||||||||||||
|
|
JUMLA KUU – SEKTA YA UJENZI 2016/17
|
|
2,645,118,249
|
|
2,645,118,249
|
3,015,653,138
|
C/O Tshs. 496,014,675
|
|||||||||||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
2.5. SEKTA YA AFYA
MABOMA YA LIYOANZA KWA NGUVU ZA WANANCHI VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA
|
|||||||||||
A. MABOMA YA ZAHANATI
|
|||||||||||
JINA LA MRADI
|
GHARAMA YA MRADI KWA MUJIBU WA BOQ
|
MCHANGO WA WANANCHI MPAKA SASA
|
HATUA ILIYOFIKIWA
|
BAJETI YA SERIKALI
|
KIASI KILICHOPOKELEWA
|
KIASI KILICHO-TUMIKA
|
MAPATO YA NDANI YALIYOTENGWA 2016/217
|
MAPATO YA NDANI YALIYOTUMIKA HADI JUNI 2017
|
SABABU ZA KUTOKAMILIKA
|
CHANGAMOTO
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Makatapola
|
248,600,000
|
38,377,400
|
Jengola OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo sana na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Mikongwi
|
248,600,000
|
37,980,600
|
Jengola OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
|
35,000,000
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
JINA LA MRADI
|
GHARAMA YA MRADI KWA MUJIBU WA BOQ
|
MCHANGO WA WANANCHI MPAKA SASA
|
HATUA ILIYOFIKIWA
|
BAJETI YA SERIKALI
|
KIASI KILICHOPOKELEWA
|
KIASI KILICHO-TUMIKA
|
MAPATO YA NDANI YALIYOTENGWA 2016/217
|
MAPATO YA NDANI YALIYOTUMIKA HADI JUNI 2017
|
SABABU ZA KUTOKAMILIKA
|
CHANGAMOTO
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Kinywang'anga
|
248,600,000
|
49,799,100
|
Jengo la OPD limekamilika bado nyumba za watumishi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha Isupilo
|
248,600,000
|
31,974,300
|
Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Muwimbi
|
248,600,000
|
65,000,000
|
Jengo la OPD limekamilika
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
|
jengo la OPD limekamilika bado nyumba za watumishi
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Ikungwe
|
248,600,000
|
34,971,200
|
Jengo la OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
|
35,000,000
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Magozi
|
248,600,000
|
46,776,800
|
Jengo la OPD limekamilika bado nyumba za watumishi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Mlanda
|
248,600,000
|
5,874,600
|
Liko hatua za Msingi wa jengo la OPD
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje nyumba za watumishi katika kijiji cha Msuluti
|
248,600,000
|
6,280,600
|
Liko hatua za Msingi wa jengo la OPD
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti.
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha kihorogota
|
248,600,000
|
32,330,600
|
Jengola OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Ibumila
|
248,600,000
|
27,586,400
|
Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Mawindi
|
248,600,000
|
28,600,000
|
Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Lyamgungwe
|
248,600,000
|
21,780,200
|
Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Nyamihuu
|
248,600,000
|
7,880,900
|
Hatua za ujenzi wa Msingi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Magubike
|
248,600,000
|
6,987,100
|
Hatua za ujenzi wa Msingi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Kitapilimwa
|
248,600,000
|
8,809,200
|
Hatua za ujenzi wa Msingi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Itengulinyi
|
248,600,000
|
22,680,900
|
Jengo la OPD lipo katika hatua za lenta
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Malagosi
|
248,600,000
|
6,660,500
|
Hatua za ujenzi wa Msingi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na nyumba za watumishi katika kijiji cha Isaka
|
248,600,000
|
6,553,600
|
Hatua za ujenzi wa Msingi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
B. VITUO VYA AFYA
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
||
Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kibena na nyumba za watumishi
(20 projects) |
567,870,600
|
49,000,000
|
ujenzi wa jengo la utawala na wagonjwa wa nje umefikia hatua linta bado kupauliwa na kupiga lipu kuta na kupaka rangi
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
Ukosefu wa fedha za kumalizia ujenzi wa zahanati hizi
|
fedha zinazotengwa na serikali kuu kwa ajili umaliziaji wa majengo ni kidogo na hazitolewi kulingana na bajeti
|
|
JUMLA
|
5,291,270,600
|
535,904,000
|
-
|
70,000,000
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
0.00
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
BAJETI ILIYOTENGWA KWA AJILI YA UJENZI WA HOSPTALI YA WILAYA, VITUO VYA AFYA PAMOJA NA ZAHANATI
|
|||||||
A.HOSPITALI
|
|
|
|
|
|
|
|
JINA LA MRADI
|
GHARAMA YA MRADI KWA MUJIBU WA BOQ
|
MCHANGO WA WANANCHI MPAKA SASA
|
HATUA ILIYOFIKIWA
|
BAJETI YA SERIKALI
|
KIASI KILICHOPOKELEWA
|
KIASI KILICHO-TUMIKA
|
MAPATO YA NDANI YALIYOTENGWA 2016/217
|
Ujenzi wa hospitali ya wilaya
|
150,000,000
|
0
|
Uchoraji wa ramani eneo la ujenzi
|
0.00
|
0
|
0
|
100,000,000
|
B. VITUO VYA AFYA
|
|
|
|
|
|
|
|
Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kibena
|
0
|
0
|
Hatua ya lenta
|
0.00
|
0
|
0
|
0
|
Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kisinga
|
40,000,000
|
0
|
Wodi ya akina mama imejengwa
|
0
|
0
|
32,425,000
|
0
|
C. ZAHANATI
|
|
|
|
|
|
|
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha Mikongwi
|
35,000,000
|
MMAM
|
Jengo la OPD lipo hatua ya kupauliwa
|
0.00
|
0
|
0
|
0
|
Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje katika kijiji cha Ikungwe
|
35,000,000
|
MMAM
|
Jengo la OPD lipo kwenye hatua za kupauliwa
|
0.00
|
0
|
0
|
0
|
Kumalizia ujenzi wa jengo la OPD katika kijiji cha Mangalali
|
34,659,960
|
Basket Fund |
Jengo la OPD limekamilika na huduma za afya zimeanza kutolewa
|
34,659,960
|
34,659,960
|
0
|
0
|
JUMLA
|
294,659,960
|
-
|
|
34,659,960
|
34,659,960
|
32,425,000
|
100,000,000
|
Bajeti iliyotengwa kwa ujenzi wa hospitali ya Wilaya, vituo vya afya na zahanati kwa mwaka 2016/17.
Chanzo cha fedha
Fedha pokelewa 2016/17
Fedha tumika
Hatua ya ujenzi iliyofikiwa
Idadi ya vituo vya afya vilivyojengwa
Idadi ya zahanati zilizojengwa
2.6. SEKTA YA KILIMO NA UMWAGILIAJI
UTANGULIZI
Katika msimu 2016/17 Halmashauri ya Wilaya haikutengewa fedha kwa ajili ya miradi ya Umwagiliaji kutokana na kuchelewa kuanza kwa Program ya Kuendeleza Kilimo awamu ya pili (ASDP 2). Utekelezaji wa miradi umefanywa kwa fedha zili zovuka mwaka 2015/2016 kutokana na kupokelewa kwa kuchelewa kwani zililetwa mwishoni mwa mwezi Juni 2016. Fedha hizi zilikuja kupitia mfuko wa kuendedeleza miradi midogomidogo ya Umwagiliaji ujulikanao kama Small Scale Irrigation Development Project (SSIDP) ambapo jumla ya Tshs 902,000,000 zilipokelewa kwa ajili ya miradi ya Mkombilenga Tshs 652,000,000 na Mlambalasi Tshs 250,000,000. Kutokana na maagizo ya wahisani fedha ziliingizwa kwenye akaunti za jamii na taratibu za malipo na usimamizi hufanywa na jamii kwa kushirikiana na Halmashauri.
Pia Halmashauri ilitengewa kiasi cha Tshs. 350,000,000 kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) kupitia Mfuko wa Uhakika wa Chakula ujulikanao kama FOOD AID COUNTERPART FUND (FACT) kwa ajili ya kuboresha skimu ya asili ya Mafuruto. Fedha za mradi huu haziletwi Halmashauri bali huingizwa moja kwa moja kwenye akaunti ya jamii kwa mfumo wa robo (Quarterly Based System) baada ya tathmini ya utekelezaji wa kazi na ripoti kuwasilisha kwa mfadhili. Hali halisi ya utekelezaji na fedha zilizotumika imeoneshwa katika jedwali hapo chini:-
Na |
Sekta |
Jina la mradi |
Kazi zilizopangwa |
Hali ya utekelezaji |
Kipindi cha utekelezaji |
Bajeti iliyotengwa 2016/2017 |
Chanzo cha fedha |
Fedha zilizopokelewa |
Fedha iliyotumika hadi Juni 2017 |
Changamoto |
1
|
Kilimo –Umwa-giliaji
|
Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Mkombilenga/ Magozi
|
Uimarishaji wa matoleo ya banio (head work offtakers)
Ujenzi wa kichujia mchanga (sediment settling basin) pamoja na mfereji wa kutolea mchanga kwenda mtoni Uimarishaji na uthibiti wa chini ya banio kwa gabion Ujenzi wa mfereji mkuu kwa mawe mita 600 Uimarishaji wa mifereji midogo 2 Ujenzi wa tuta la kuzuia maji ya mafuriko pande zote za mto mita 62 Ujenzi wa kigawa maji kikuu 1 na vidogo 4 |
Ujenzi umekamilika kwa asilimia 90.
Kazi iliyobaki ni kupiga plasta mfereji mkuu mita 600 na kuchimba mifereji ya kati mita 300 |
2016-2017
|
-
|
Small Scale Irrigation Development Program (SSIDP)
|
652,000,000
|
461,678,260
|
Kuchelewa kupokelewa kwa fedha kutoka serikalini hali iliyopelekea kuchelewa kwa mchakato wa manunuzi na kazi kuanza karibu na msimu wa mvua na kilimo.
|
|
|
Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Mlambalasi
|
Ujenzi wa ukuta unaozuia mfereji mkuu usibomoke kirahisi (retaining wall) 358 m2
Usakafiaji wa mfereji mkuu 750m Ujenzi wa Korongo la Madegepera (Aqueduct) mita 35 Ujenzi wa vigawa maji 2 vya kumwagilimashamba (Turnouts) Ujenzi wa vivusha maji ya mvua 2 ili maji yasiingie mferejini (cross drainage). |
Ujenzi umekamilika kwa asilimia 100. Mradi upo kwenye matazamio kwa muda wa mwaka mmoja kuanzia Juni, 2017
|
2016-2017
|
-
|
Small Scale Irrigation Development Project (SSIDP)
|
250,000,000
|
236,747,914
|
Kuchelewa kupokelewa kwa fedha kutoka serikalini hali iliyopelekea kuchelewa kwa mchakato wa manunuzi na kazi kuanza karibu na msimu wa mvua na kilimo
|
|
|
Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Mafuruto
|
Kujenga banio moja
Kusakafia mfereji mkuu mita 500 Kazi ya nyongeza (kuchimba barabara ya kwenda kwenye banio kilimita 4) |
Ujenzi umekamilika kwa asilimia 90.
Kazi iliyobaki ni kusakafia mfereji mkuu mita 100 na kupiga plasta kwenye banio |
2016-2017
|
-
|
FOOD AID COUNTERPART FUND (FACT)
|
350,000,000
|
141,199,515
|
Fedha za mradi kutolewa kwa mfumo wa roborobo (quarterly system) na kusababisha usumbufu wa ufuatiliaji wa mara kwa mara.
|
|
|
Jumla Kuu Kilimo 2016/17
|
|
|
|
|
1,252,000,000
|
839,625,689
|
|
2.7 TAARIFA YA MIRADI ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MWAKA 2016/17 NA KAZI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA KUPITIA FEDHA ZA MIFUKO YA MAENDELEO YA MAJIMBO YA KALENGA NA ISIMANI
2.7.1 Utangulizi
Katika mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ilipokea fedha kiasi cha Tshs 79,593,000.00 ya mifuko ya majimbo ya Isimani na Kalenga kwa mgawanyo wa Tshs 42,049,000.00 za Jimbo la Isimani na Tshs 37,544,000.00 za Jimbo la Kalenga. Fedha hizi zilielekezwa katika miradi ya Kipaumbele kwa kila jimbo katika sekta za utawala, elimu, afya na maji kwa lengo la kuchochea ukamilishwaji wa miradi kwa wakati ili iweze kutoa huduma stahiki kwa wananchi. Mchanganuo wa mgao wa fedha hizi ni kama ifuatavyo;
Makisio, mapokezi halisi na matumizi ya mifuko ya majimbo ya Isimani na Kalenga
JIMBO |
BAJETI YA MWAKA |
FEDHA TOLEWA |
MATUMIZI |
SALIO |
Jimbo la Isimani
|
48,258,000 |
42,049,000.00 |
33,171,317 |
8,877,683 |
Jimbo la Kalenga
|
41,496,000 |
37,544,000.00 |
36,755,314 |
788,686 |
Jumla
|
89,754,000 |
79,593,000 |
69,926,631 |
9,666,369 |
2.7.2 TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA JIMBO LA KALENGA
Jimbo la Kalenga katika kipindi hiki cha mwaka lilipokea kiasi cha fedha Tshs 37,544,000 ambazo zilielekezwa katika miradi ya kipaumbele jimboni. Jedwali lifuatalo linaonyesha kwa kina maeneo ambayo yalipata na kutumia fedha za Jimbo la Kalenga.
2.7.2.1 Hali halisi ya Utekelezaji
NA
|
SEKTA
|
JINA LA MRADI
|
KAZI ZILIZOPANGWA
|
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
|
BAJETI 2016/17
|
CHANZO CHA FEDHA
|
FEDHA POKELEWA
|
FEDHA TUMIKA
|
CHANGAMOTO
|
1
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa shule tarajiwa ya Sekondari Tanangozi kwa
|
Jumla ya nondo roller 28 na saruji mifuko 30 kwa ajili ya ujenzi bimu madarasa 2 umekamilika
|
Aprili – Juni 2017
|
823,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
823,000
|
823,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
2
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa madarasa mawili (2) na ofisi moja (1) katika shule ya msingi Lwato
|
Jumla ya bati 100 zimenunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili (2) na ofisi moja (1) katika shule ya msingi Lwato
|
Aprili – Juni 2017
|
2,300,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
2,300,000
|
2,300,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
3
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa Shule ya Sekondari Lupembelwasenga
|
Jumla ya saruji mifuko 100 imenunuliwa na kutolewa kwa ajili ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Lupembelwasenga
|
Aprili – Juni 2017
|
1,250,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,250,000
|
1,250,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
4
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Mgera
|
Jumla ya saruji mifuko 50 imetolewa kusaidia ukrabati wa madarasa katika shule ya msingi Mgera, ukarabati umekamilika
|
Aprili – Juni 2017
|
625,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
625,000
|
625,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
5
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Magulilwa kwa kutoa bati 100
|
Jumla ya bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya Msingi ya Magulilwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 2.
|
Aprili – Juni 2017
|
2,300,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
2,300,000
|
2,300,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
6
|
Elimu
|
Kusaidia umaliziaji wa nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Kibaoni Ifunda
|
Jumla ya mifuko 100 ya saruji imenunuliwa kwa ajili ya umaliziaji wa nyumba ya mwalimu kazi inaendelea.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,250,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,250,000
|
1,250,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
7
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Ugwachanya.
|
Jumla ya saruji mifuko 80 imenunuliwa na kupelekwa katika shule Msingi Ugwachanya kwa ajili ya ukarabati wa madarasa na ukarabati umekamilika.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,000,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,000,000
|
1,000,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
8
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa zahanati kijiji cha Makongati
|
Jumla ya saruji mifuko 80 imenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Makongati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa zahanati ambapo ujenzi upo katika hatua ya kiti.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,000,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,000,000
|
1,000,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
9
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa 2 katika Shule ya msingi Makombe.
|
Jumla ya saruji mifuko 60 imenunuliwa na kupelekwa katika shule ya Msingi Makombe kwa ajili ya ukarabati wa madarasa 2 na ukarabati umekamilika
|
Aprili – Juni 2017
|
750,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
750,000
|
750,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
10
|
Elimu
|
Kusaidia umaliziaji wa vyumba vinne (4) Shule ya msingi Ndiwili.
|
Jumla ya saruji mifuko 80 imenunuliwa kwa ajili ya kusaidia umaliziaji wa vyumba 4 vya madarasa katika shule ya Msingi Ndiwili.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,000,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,000,000
|
1,000,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
11
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa Shule ya Msingi Igangidung’u.
|
Jumla ya saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa madarasa Shule ya Msingi Igangidung’u, ukarabati unaendelea.
|
Aprili – Juni 2017
|
625,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
625,000
|
625,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
12
|
Elimu
|
Kusaidia umaliziaji wa chumba kimoja cha maabara katika shule ya Sekondari Kiwere.
|
Jumla ya bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Kiwere na upauaji umekamilka.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,150,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,150,000
|
1,150,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
13
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika Shule ya msingi Mwenge
|
Jumla ya bati 40 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa chumba1 cha darasa katika shule ya msingi Mwenge
|
Aprili – Juni 2017
|
920,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
920,000
|
920,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
14
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa mawili (2) katika shule ya msingi Mibikimitali
|
Jumla ya bati 80 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya Msingi Mibikimitali kwa ajili ya ukarabti wa madarasa mawili, ukarabati umekamilika.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,840,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,840,000
|
1,840,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
15
|
Elimu
|
Kusaidia umaliziaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na vyoo vya wanafunzi katika Shule ya msingi tarajiwa ya Mahanzi
|
Jumla ya saruji mifuko 80 na bati 30 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Mahanzi. Kazi inayoendelea ni upigaji wa lipu vyumba viwili vya madarasa
|
Aprili – Juni 2017
|
1,690,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,690,000
|
1,690,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
16
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa zahanati kijiji cha Ikuvilo
|
Jumla ya bati 80 zimenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Ikuvilo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Hatua ya ujenzi ipo katika msingi na ujenzi unaendelea.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,840,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,840,000
|
1,840,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
17
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa zahanati kijiji cha Mwambao.
|
Jumla ya bati 80 zimenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Mwambao kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Ujenzi unaendelea.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,840,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,840,000
|
1,840,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
18
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Kaning’ombe kwa kutoa bati 60.
|
Jumla bati 60 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Kaning’ombe kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili. Ukarabati umekamilika.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,380,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,380,000
|
1,380,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
19
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Kalenga.
|
Jumla bati 50 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Kalenga kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili. Ukarabati umekamilika
|
Aprili – Juni 2017
|
1,150,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,150,000
|
1,150,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
20
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa darasa la awali katika shule ya msingi Mlolo.
|
Jumla ya bati 50 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Mlolo kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili. Ukarabati umekamilika
|
Aprili – Juni 2017
|
1,150,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,150,000
|
1,150,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
21
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Isupilo.
|
Jumla ya bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa zahanati ya Isupilo.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,150,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,150,000
|
1,150,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
22
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Magulilwa.
|
Jumla ya bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Magulilwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili. Ujenzi unaendelea.
|
Aprili – Juni 2017
|
2,300,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
2,300,000
|
2,300,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
23
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa jengo la Utawala shule ya msingi Muungano
|
Bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kusaidia kupaua jengo la utawala. Kazi inayoendelea ni usafirishaji wa vifaa hivi
|
Juni – Agosti 2017
|
1,100,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,100,000
|
1,100,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
23
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Itagutwa
|
Saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa kuta katika shule hii.
|
Juni – Agosti 2017
|
575,000.00
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
575,000.00
|
575,000.00
|
|
24
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa wodi za wagonjwa katika kituo cha afya Mgama.
|
Saruji mifuko 100 imenunuliwa na kupelekwa katika kituo cha afya Mgama kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wagonjwa. Ujenzi upo katika hatua ya msingi.
|
Juni – Agosti 2017
|
1,150,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,150,000
|
1,150,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
25
|
Utawala
|
Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kijiji Negabihi.
|
Saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya upigaji wa lipu wa ofisi ya kijiji.
|
Juni – Agosti 2017
|
575,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
575,000.00
|
575,000.00
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
26
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa madarasa mawili katika shule msingi Lupalama.
|
Saruji mifuko 50 imenunuliwa kwa ajili ya ukarabati wa madarasa katika shule ya msingi Lupalama.
|
Juni – Agosti 2017
|
575,000.00
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
575,000.00
|
575,000.00
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
|
27
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Makota
|
Bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya kupaua nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Makota.
|
Juni – Agosti 2017
|
1,100,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,100,000
|
1,100,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
28
|
Elimu
|
Kusaidia ukarabati wa darasa katika shule ya msingi Kitayawa.
|
Bati 50 zimenunuliwa kwa ajili ya ukarabati wa darasa lililoezuliwa katika shule ya msingi Kitayawa.
|
Juni – Agosti 2017
|
1,100,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,100,000
|
1,100,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
29
|
Utawala
|
Kuwezesha uendeshaji wa kikao cha kamati ya mfuko wa Jimbo la Kalenga.
|
Malipo kwa wajumbe wa kamati ya mfuko wa Jimbo kuwezesha kikao kujadili miradi ya kipaumbele.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,100,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
1,100,000
|
1,100,000
|
|
29
|
Utawala
|
Ununuzi wa diesel na posho ya dereva kwa ajili ya usambazaji wa vifaa jimboni.
|
Ununuzi wa diesel lita 1000 na malipo ya posho ya dereva kwa jili ya usamabazaji wa vifaa vya ujenzi jimboni
|
Aprili – Juni 2017
|
2,377,000
|
Mfuko wa Jimbo Kalenga
|
2,377,000
|
2,377,000
|
|
Jumla ndogo matumizi ya Mfuko wa Jimbo la Kalenga 2016/17
|
36,755,314
|
|
36,755,314
|
36,755,314
|
|
2.7.3. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA JIMBO LA ISIMANI
Kama ilivyoonyeshwa katika utangulizi Jimbo la Isimani lilipokea kiasi cha fedha Tshs 42,049,000.00/= ambazo zilielekezwa katika miradi ya kipaumbele. Jedwali lifuatalo linaonyesha kwa kina maeneo ambayo yalipata na kutumia fedha za Jimbo la Isimani.
2.7.3.1 Hali halisi ya Utekelezaji
NA
|
SEKTA
|
JINA LA MRADI
|
KAZI ZILIZOPANGWA
|
KIPINDI CHA UTEKELEZAJI
|
BAJETI 2016/17
|
CHANZO CHA FEDHA
|
FEDHA POKELEWA
|
FEDHA TUMIKA
|
CHANGAMOTO
|
1
|
Maji
|
Ukarabati wa mradi wa maji katika skimu ya maji ya Isimani katika maeneo ya makorongo.
|
Ukarabati wa sehemu za makorongo kwa kubadilisha mabomba katika vijiji vya Uhominyi, Usolanga na Mkulula, kuhamisha bomba kuu eneo la Mbigili na kuchimba mtaro mita 320 na kulaza mabomba. Ukarabati unaendelea.
|
Aprili – Julai 2017
|
6,000,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
6,000,000
|
6,000,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
|
2
|
Maji
|
Ukarabati wa chanzo cha maji katika skimu ya Matunguru – Idodi.
|
Ukarabati wa chanzo cha maji umefanyika kwa kujenga maeneo yaliyobomoka na kubadilisha mabomba katika chanzo cha maji Matunguru - Idodi
|
Aprili – Julai 2017
|
5,000,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
5,000,000
|
5,000,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
|
3
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya msingi Kitanewa.
|
Jumla ya saruji mifuko 100 na bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Kitanewa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili. Ujenzi upo katika hatua ya upauaji.
|
Aprili – Juni 2017
|
3,550,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
3,550,000
|
3,550,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
4
|
Elimu
|
Kuchangia ujenzi wa nyumba 5 za walimu katika shule ya Sekondari Nyerere.
|
Jumla ya saruji mifuko 100 na bati 100 zimenunuliwa na kupelekwa katika shule ya sekondari Nyerere kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba tano za walimu. Nyumba moja imekwishapauliwa na nyumba 4 zipo katika hatua ya upandishaji wa kuta.
|
Aprili – Juni 2017
|
3,550,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
3,550,000
|
3,550,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
5
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Mbweleli kwa kutoa.
|
Jumla ya saruji mifuko 100 imenunuliwa na kupelekwa katika kijiji cha Mbweleli kwa jili ya ujenzi wa zahanati. Ujenzi upo katika hatua ya kupiga lipu.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,250,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
1,250,000
|
1,250,000
|
|
6
|
Elimu
|
Kuwezesha usukaji nyaya za umeme (wiring) na uingizaji wa umeme katika nyumba za walimu Pawaga Sekondari.
|
Kusuka nyaya za na uingizaji wa umeme katika nyumba hizi umekamilika na umeme unawaka.
|
Aprili – Juni 2017
|
5,000,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
5,000,000
|
5,000,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
|
7
|
Utawala
|
Ununuzi wa tairi nne (4) na tube zake kwa gari la polisi Na. PT 0937 la kituo cha Idodi kwa gharama.
|
Tairi nne na tube zake zimenunuliwa kwa gari Na. PT 0937 la kituo cha polisi Idodi.
|
Aprili – Juni 2017
|
2,160,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
2,160,000
|
2,160,000
|
|
8
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa darasa moja shule ya msingi Usolanga.
|
Saruji mifuko 50 imenunuliwa na kupelekwa katika shule ya msingi Usolanga. Ujenzi unaendelea.
|
Aprili – Juni 2017
|
625,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
625,000
|
625,000
|
|
9
|
Afya
|
Kusaidia ujenzi wa zahanati Isele.
|
Jumla ya mifuko 100 ya saruji imenunuliwa na kupeleka katika kijiji cha isele kwa ajili ya upanuzi wa zahanati ya Isele kuwa kituo cha afya.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,250,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
1,250,000
|
1,250,000
|
|
10
|
Elimu
|
Kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya Sekondari Idodi.
|
Jumla ya mifuko ya saruji 50 imenunuliwa na kupelekwa idodi sekondari kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba ya mwalimu ambayo imekwisha pigwa lipu.
|
Aprili – Juni 2017
|
625,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
625,000
|
625,000
|
Fedha inayotolewa ni kidogo ikilinganishwa na mahitaji.
Uhaba wa vitendekea kazi hasa usafiri wa kusafirishia vifaa. |
11
|
Utawala
|
Kuwezesha uendeshaji wa kikao cha kamati ya mfuko wa Jimbo la Isimani.
|
Malipo kwa wajumbe wa kamati ya mfuko wa Jimbo kuwezesha kikao kujadili miradi ya kipaumbele.
|
Aprili – Juni 2017
|
1,180,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
1,180,000
|
1,180,000
|
|
12
|
Utawala
|
Ununuzi wa diesel na posho ya dereva kwa ajili ya usambazaji wa vifaa jimboni.
|
Ununuzi wa diesel lita 500 na malipo ya posho ya dereva kwa jili ya usamabazaji wa vifaa vya ujenzi jimboni
|
Aprili – Juni 2017
|
1,354,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
1,354,000
|
1,354,000
|
|
13
|
Elimu
|
Kuwezesha ununuzi wa programu ya ulinzi wa kompyuta (anti virus) katika shule ya sekondari Idodi.
|
Programu za ulinzi wa komputa (Kaspersky – antivirus 3 user) sitana kuingizwa katika komputa 18 kwenye maabara ya komputa Idodi sekondari
|
Aprili – Juni 2017
|
300,000
|
Mfuko wa Jimbo Isimani
|
300,000
|
300,000
|
|
Jumla ndogo Jimbo la Isimani 2016/17
|
33,171,317
|
|
33,171,317
|
33,171,317
|
|
2.3. CHANGAMOTO
Changamoto zilizojitokeza na kuathiri utekelezaji wa miradi iliyopangwa ni pamoja na:
CHANGAMOTO ZA BAJETI
CHANGAMOTO ZA MIFUKO YA MAJIMBO
CHANGAMOTO ZA MATUMIZI YA MFUMO WA KIELEKTRONIK KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO
CHANGAMOTO ZA KUTOFANYIKA KWA MIKUTANO YA KISHERIA YA VIJIJI
Naomba Kuwasilisha
Robert Masunya
Mkurugenzi Mtendaji (W),
Iringa
Mtaa wa Gangilonga
Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa
Simu ya mezani: 026-2702828/2702585
Simu ya mkononi: 0767778106
Barua pepe: ded@iringadc.go.tz
Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa