• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Waandishi wa Habari muwe kiunganishi kati ya Wananchi na Serikali"- DAS Hashimu Komba

Imewekwa : September 27th, 2018


Waandishi wa habari wa Mkoa wa Iringa wametakiwa kuwa kiunganishi kati ya Serikali na Wananchi  wake kwa kuibua changamoto na matatizo yanayowakabili wananchi na kuyatafutia  muendelezo wake baada ya kuyaibua.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Iringa Ndg  Hashimu Komba wakati wa hafla fupi  ya kuwashukuru Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Iringa walioshiriki katika Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa .

Komba amesema kuwa vyombo vya habari ni Mdau muhimu katika kuifanya Serikali kutimiza majukumu yake kwa kuweza kuonyesha kuna changamoto gani ndani ya jamii kupitia media, hivyo media inapoibua jambo au changamoto ni vyema muendelezo wa lile jambo ukaonekana ili Serikali iweze kulifanyia kazi kwa haraka huku akiwakumbusha waandishi hao kuepukana na ile dhana ya kufanya kazi na Serikali kwa kuviziana.

“Nyinyi ni watu wa muhimu sana,tuendelee kuwaomba ushirikiano katika kufanya kazi na Serikali,muwe huru kutoa maoni na changamoto ambazo mnakutana nazo mnapofanya kazi na Serikali na muwe kiunganishi kati ya Wananchi na Serikali,niwashukuru sana kwa namna mlivoshiriki na kuripoti ziara ya Mkuu wa Mkoa,ushirikiano huu udumu na Mungu awabariki”, alimaliza Ndg Komba.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Ally Hapi amemaliza ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambapo alikagua Miradi ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 19,017,662,792,na kusikiliza kero za Wananchi katika Tarafa za Pawaga,Kalenga,Idodi,Mlolo,Ismani na Kiponzero.

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. February 08, 2019
  • Tangazo la uuzwaji wa viwanja vya makazi na hoteli katika eneo la Kalenga. February 08, 2019
  • Tangazo la Maadhimisho ya siku ya upandaji miti kitaifa January 29, 2019
  • Tangazo la kutafuta Mafundi(local fundi) kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ya iringa eneo la Igodikafu Kijiji cha Mbuyuni. January 28, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‘’Umeme umewaka Igodikafu, Muache visingizio’’-DED Masunya.

    February 18, 2019
  • Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango yafanya Ziara ya kukagua shughuli za ukusanyaji Mapato katika Mageti.

    February 18, 2019
  • Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na Ghana Hope Foundation zimesaini Mkataba wa Makubaliano na Ushirikiano katika kuboresha utoaji wa huduma za Afya kwa Jamii.

    February 09, 2019
  • Ujumbe kutoka Marekani watua na neema Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

    February 14, 2019
  • Tazama zote

Video

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa na Ghana Hope Foundation zimesaini Mkataba wa Makubaliano na Ushirikiano katika kuboresha utoaji wa huduma za Afya kwa Jamii
video

Viungo vya haraka

  • Dashibodi ya Mapato
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0754 364 994

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa