• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uvuvi




Mifugo na Uvuvi.doc




TAARIFA YA BWAWA LA MTERA

Bwawa la Mtera lilitengenezwa kwa ajili ya kuhifadhi ya kufua umeme kwa ajili ya Bwawa la Kidatu na kuanza kazi mwaka 1981. Bwawa hili lina ukubwa kwa kilomita za mraba 660 na lipo katika eneo linalozunguka Halmashauri za wilaya za Chwamwino na Mpwapwa katika mkoa wa Dodoma na Halmashauri ya wilaya ya Iringa katika mkoa wa Iringa ambapo ina eneo la kilomita 220.

Eneo la Bwawa la Mtera katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa linajumuisha kata ya Migoli katika vijiji vya Kinyali, Mbweleli, Makatapora, Mtera, Migoli na Mapera. Kata ya Izazi pia imo katika eneo la bwawa hili katika vijiji vya Mnadani na Makuka. Uwepo wa Bwawa hili umekuwa na faida kwa wananchi kwan imewawezesha kufanya shughuli za uvuvi kutokana na uwepo wa aina mbalimbali za samaki kama Perege, Mchena, Katoga, Kambale, Sulusulu, Mkunga, Ngobero, Ndua, Ngogo, Mbapala, Ngogomawe, Justin, Dagaa msumari, Dagaa kamba, Pua, Ngalala na Kimbumbu.

Forodha au kambi rasmi 17 za uvuvi zipo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kama ifuatavyo; Ladwa, Mbweleli, Makatapora, Chapuya, Changarawe, Mapropela, Mkungugu, Madafu, Vietnamu, Nyegele, Maperamengi, Mnadani, Mabati, Magungu, Kilambakitali, Itemagwe na Kastamu. Forodha hizo zina jumla ya wavuvi 1500 na mitumbwi 1126.

Matangazo

  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA ROBI YA PILI KWA MWAKA FEDHA 2022/2023. January 16, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA MKOA WA IRINGA December 14, 2022
  • Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Taarifa kwa umma kuhusu uandikishaji wa wanafunzi darasa la kwanza December 14, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Milioni 247,900,000/= Kutolewa katika Vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu

    February 03, 2023
  • CMT Iringa DC Yampongeza Mhe. Moyo kwa Utumishi wake

    February 03, 2023
  • Kamati ya Fedha Yampa Tano Muhoja,

    February 02, 2023
  • Milioni 128 Kujenga Mradi wa Shamba Darasa Kilimo cha Samaki Ibumila

    January 30, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA POLIO, DALILI NA NJIA ZA KUJIKINGA
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa