• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe Za Watumishi |
Iringa District Council
Iringa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Mazingira na Usafishaji
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA NA Uhusiano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango,Utawala na Uchumi
      • UKIMWI
      • Afya Elimu na Maji
      • UMazingira, uchumi na Ujenzi
      • Maadili
    • Ratiba Ya Vikao mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Hudumakwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video za Shughuli Mbalimbali za kiofisi na za Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Milioni 128 Kujenga Mradi wa Shamba Darasa Kilimo cha Samaki Ibumila

Imewekwa : January 30th, 2023

Milioni 128 Kujenga Mradi wa Shamba Darasa Kilimo cha Samaki Ibumila

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni mia moja ishirini na nane (128) kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa lengo la ujenzi wa shamba darasa la kujifunzia namna ya ufugaji wa samaki katika Halmashauri.

Akizungumza katika utambulisho wa mradi huo ambao utatekelezwa katika Kijiji cha Ibumila Kata ya Mgama Mkuu wa Idara ya Ujenzi Mhandisi Nicco Kasiririka amesema mradi huo umefadhiliwa na Wizara na utatekelezwa kwa muda wa miezi mitatu.

Mhandisi Kasisirika amesema mradi huo utahusisha ushiriki wa nguvu za wananchi na kwa wakati huu itakua tofauti na miradi mingine, kwa mradi huo amesema wananchi watalipwa na wao watatoa nguvu kazi katika uchimbaji na ufanyaji kazi

“Tutakua tumezalisha ajira, na tunategema wananchi wajitokeze kwa wingi kuchangamkia fursa hii kwani kazi kubwa itakua ni kuchimba mabwawa na kusaidia katika shughuli za ujenzi”

Aidha Mhandisi Kasisirika amesema utaandaliwa utaratibu mzuri wa malipo kwa wananchi na kuwatoa hofu kuwa hakutakuwa na changamoto yoyote kwani fedha zipo tayari.

Naye Msimamizi wa Sekta ya Uvuvi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Kelvin Ndege amesema mradi huu utahusisha ujenzi wa Mabwawa manne, Ofisi ya Afisa Uvuvi, choo, chumba cha darasa na uzio.

Amesema lengo la mradi huo ni kukuza uchumi kwa wananchi na kuongeza kipato kupitia shughuli ya ufugaji wa samaki lakini pia amesema shamba darasa hilo litatumika kama sehemu rasmi ya mafunzo kwa Halmashauri nzima na Mkoa kiujumla.

“Tukiangalia Iringa yetu katika nafasi ya kitaifa inashika namba nne kwa udumavu na hii inatokana na ukosefu wa lishe bora, tunatarajia kupitia shamba darasa hili la ufugaji wa samaki litawanufaisha wanakijiji cha Ibumila na Halmashauri kiujumla kwa kupata lishe bora na elimu ya lishe.”

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kijiji cha Ibimila Mhe. Richard Mhema ameshukuru kupelekwa kwa mradi huo katika Kijiji cha Ibumila na kuahidi kuwa kama kijiji watatoa ushirikiano na wataunda kamati za utunzwaji na uendelezaji wa mradi huo.

Mradi wa shamba darasa kilimo cha samaki unatarajiwa kuanza hivi karibuni mara baada ya kuundwa kamati mbalimbali za usimamizi.

Matangazo

  • RATIBA YA VIKAO VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA KWA ROBI YA PILI KWA MWAKA FEDHA 2022/2023. January 16, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA MKOA WA IRINGA December 14, 2022
  • Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Taarifa kwa umma kuhusu uandikishaji wa wanafunzi darasa la kwanza December 14, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ZAIDI YA MADAWATI 162 YATOLEWA KWA SHULE YA SEKONDARI KIDAMALI NA SHAFA AGRO COMPANY LIMITED

    March 18, 2023
  • Maandalizi ya Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023

    March 14, 2023
  • Walimu wa Kidato cha Tano na Sita Kuweka Mikakati ya Kupandisha Ufaulu

    March 09, 2023
  • Wanawake Waaswa Kutokaa Kimya Wanapofanyiwa Ukatili

    March 07, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA POLIO, DALILI NA NJIA ZA KUJIKINGA
video

Viungo vya haraka

  • FOMU YA USAJILI WA VIKUNDI
  • INGIA KWENYE MFUMO WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
  • Salary slip

Viungo vinavyohusiana

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais-Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ofisi ya Rais -Utumishi na Utawala Bora
  • Sekretariati ya ajira
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti kuu ya takwimu huria
  • Tovuti Rasmi ya Rais

Idadi ya watembeleaji duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

https://bachelorthesiswritingservice.com

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Gangilonga

    Anuani ya posta: Po.Box108 Iringa

    Simu ya mezani: 026-2702828/2702585

    Simu ya mkononi: 0767778106

    Barua pepe: ded@iringadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Haki miliki @ Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Haki zote zimehifadhiwa